ads

Breaking News

RAIS WA DUNIA OBAMA ASHUHUDIA KOMBE LA DUNIA AKIWA KWENYE AIR FORCE ONE

Flying high: Obama watched the game from his airplane as USA progressed to the knockout rounds

Akiwa angani: Obama akitazama mechi ya mwisho ya Marekani dhidi ya Ujerumani akiwa kwenye ndege yake.
RAIS wa Marekani, Barack Obama ameonesha jinsi gani kombe la dunia ni muhimu kwa taifa lake baada ya kuamua katazama mchezo wa mwisho wa kundi G dhidi ya Ujerumani akiwa kwenye ndege yake binafsi.
Obama alikuwa anasafiri kwa ndege kutoka   Maryland  kwenda  Minnesota  wakati Marekani ikicheza mchezo muhimu na alihakikisha hakosi mchezo huo kupitia matangazo ya moja kwa moja kwenye luninga iliyopo kwenye ndege yake.
 Flying high: Obama watched the game from his airplane as USA progressed to the knockout rounds
Kitu kwa anga: Obama akitazama mechi ya Marekani na kushuhudia taifa lake likifuzu hatua ya 16.
New fans: 'Soccer' has seen an explosion of popularity during the tournament both in the US and Brazil
Mashabiki wa timu ya taifa ya Marekani walishangilia timu yao wakiwa kote Marekani na Brazil.

No comments