ads

Breaking News

Tunawashikiliawa watu kadhaa,Israel


Taarifa kutoka nchini Israeli zinasema kuwa serikali inawashikilia baadhi ya watu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kijana wa kipalestina Mohammed Abu Khdeir.
Mauaji hayo kwa mjibu wa polisi nchini humo yanahusishwa na hamasa za utofauti wa utaifa .
Hata hivyo mauaji hayo yamechukuliwa kama ni ulipizaji kisasi dhidi ya mauajia ya wanaharakati wa kiyahudi kutokana na kuuawa kwa vijana watatu mwezi uliopita.
Israel imeyatuhumu makundi ya kijeshi ya wapiganaji wa Kipalestina wa Hamas kwa mauaji hayo.Kundi la Hamas wao wamekanusha kuhusishwa na mauaji hayo.Idara za usalama za Israeli zinamshikilia raia wa Palestina anayedaiwa kuhamasihsa mauaji hayo ya vijana wa Israel.

No comments