ads

Breaking News

Shetta: Nimeanza kupata maombi ya Interviews kwenye radio za Nigeria


shettaa
Msanii wa Tanzania kupata nafasi ya wimbo wake kuchezwa hadi kuingia kwenye Top 10 ya radio tatu za Nigeria ni jambo kubwa, lakini kufikia hatua ya hadi kuombwa kufanyiwa mahojiano na radio hizo ni jambo kubwa zaidi ambalo tunaweza kulihesabu kama sehemu ya mafanikio kwa msanii wa bongo aliyeianza safari ya kujitangaza kimataifa.

No comments