#Breaking Rapper Geez Mabovu amefariki dunia usiku huu
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.
#BREAKING
Taarifa nilizozipata ni kwamba rapper Geez Mabovu amefariki Iringa,
baba yake mdogo Abbas Upete amethibitisha, naendelea kufatilia
— millardayo.com (@millardayo) November 12, 2014
Dennis ambae alikua mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha
pia
kuhusu kifo cha Geez Mabovu na kusema rapper huyu aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya.
No comments