#Breaking Rapper Geez Mabovu amefariki dunia usiku huu
Kabla mwaka 2014 haujaisha idadi ya watu maarufu wa Tanzania
waliotangulia mbele za haki imezidi kuongezeka na hii ni baada ya
taarifa kutoka Iringa zilizoanza kusambaa kuanzia saa tatu usiku
November 11 2014.
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.


Dennis ambae alikua mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.
#BREAKING
Taarifa nilizozipata ni kwamba rapper Geez Mabovu amefariki Iringa,
baba yake mdogo Abbas Upete amethibitisha, naendelea kufatilia
— millardayo.com (@millardayo) November 12, 2014
Hii
ni picha ya July 2013 ambayo ni mara ya mwisho Geez Mabovu ameonekana
kwenye millardayo.com akiwa na Baba yake Dully Sykes maeneo ya Kinondoni
Dar es salaam nje ya Bar ya msanii Dudubaya aliyokua ameifungua wakati
huo.
pia
kuhusu kifo cha Geez Mabovu na kusema rapper huyu aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya.
No comments