ads

Breaking News

Alikiba ambusu Diva mdomoni ‘He is a good Kisser’



Diva na hitmaker wa Chekecha, Alikiba usiku wa jana waligusanisha lips zao kama sio kubadilisha mate kwenye busu la haja walilopeana.
KIba 2
Diva ameshare video ya tukio zima kwenye Instagram ambayo mwanzoni zinasikika sauti za mashabiki wakishangalia kwa kutaja jina lake kabla ya Alikiba kumsogelea na kumpiga busu.
KIba 1
Huenda mashabiki hao waliwashinikiza wawili hao wafanye hivyo. Hata hivyo Diva ameonesha kulipenda busu hilo na kumwelezea Kiba kama mtu anayebusu vyema.
“having Fun With @officialalikiba. Massive show… thank you guys for coming. kibah thanks for the kiss, sucha Good Kisser ‘ love you all. Thank yol for coming… but this kiss Baby is gon Kill Me lol #Jokking … but ey ‘ it was so much fun’ thank you Guys for coming … Happy People’ we killed it,” ameandika.

No comments