ads

Breaking News

Lady Jaydee kuachia ngoma mpya April 10


10336650_10152393917830025_9111130432809932832_n
Katika mradi wake mpya uliofanyika nchini Afrika Kusini, Lady Jaydee amemshirikisha Mazet kutoka kundi la Mina Nawe pamoja na Uhuru.

Akiongea na E-News ya EATV, Lady Jaydee amesema kazi hiyo itakuwa na utofauti wa ladha ambayo hajawahi kuifanya kwa kuunganisha mawazo na pia uwezo na wasanii hao.
Ngoma hiyo itatoka na video yake.

No comments