ads

Breaking News

Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume

Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).
kim na kanye
Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.
Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto wao wa pili ambaye ni mdogo wake na North West.

No comments