ads

Breaking News

Fataki Zazua Tafrani Ubalozi Wa Marekani tz Kwa Hisia Za Uvamizi

Mioyo ya watanzania bado haijasahau tukio baya la shambulizi la bomu katika ubalozi wa Marekani. Hii ndio sababu iliyowafanya wakazi wa Morocco na wapita njia kupasuka moyo baada ya kusikia milio inayofanana na risasi au booms
fataki
Milio hiyo ilisikika katika Ubalozi wa Marekani ni milio ya Fataki iliyokuwa ikipigwa katika eneo hilo. Bado haijafahamika sababu za kupigwa kwa fataki hizo ingawa hisia za wengi ni kuhusu kufuzu kwa timu ya Marekani kwenda katika hatua ya mtoano kwenye Kombe la Dunia, ama mapokezi ya mtu fulani mzito aliyeingia eneo hilo.

No comments