ads

Breaking News

what happends Chris Brown Na Karrueche ?

chrs 3 
Kila shabiki wa muziki huchagua wapenzi anaowapenda na kuamua kuwafuatilia kwenye kila jambo wanalofanya, mfano mzuri ni msanii Msami na star wa bongo movie Irene, Wema na Diamond, Drake na Rihanna na sasa ni hii ni kwa wale Wa Chris Brown Na Karrueche.

Taarifa mpya kuhusu mahusiano yao zinasema kuwa wapenzi hawa wametengana siku mbili zilizopita na kwamba Chris Brown amefuta picha zote kwenye kurasa yake ya Instagram kama ishara ya kumfuta Karrueche kwenye maisha yake.
Blog Za Marekani zinasema sio muda mrefu watarudiana tena, washawazoea na ndio kawaida yao. Awamu hii msanii Rihanna ambaye ameshawahui kuhusishwa na kuwagombanisha wapenzi hawa hajahusishwa kabisa na kutengene kwao .

Karrueche alipost ujumbe kuhusu mapenzi uliosema “Love what you have before life teaches you to love what you lost”
chrs

No comments