ads

Breaking News

Hii ni kuhusu mtoto wa mwezi mmoja alieliwa na Panya.

Screen Shot 2014-08-28 at 6.40.05 AM
Ni stori nyingine kubwa ya siku kutoka kwenye jiji la Johannesburg Afrika Kusini ikisema  kwamba Panya wamemng’ata vidole na pua mtoto wa mwezi mmoja kwenye kitongoji cha Alexandra wanachoishi watu wa hali ya chini.

BBCswahili wameripoti kwamba mtoto huyu kwa sasa anasubiria kufanyiwa upasuaji wa kuumba maumbile yake ya usoni baada ya tukio hili.
Panya walimvamia Erena Yekanyi nyumbani kwao huku mama yake akiwa anafua nguo nje ndipo alipokimbilia ndani kumtazama baada ya kusikia analia, akamkuta anatokwa damu.

No comments