Kijana
Mmoja ambaye Jina lake ahalijafahamika Mara Moja akiwa amejeruhiwa
vibaya kisa kikielezwa kwamba ni kukutwa na mke wa Mtu.Matukio kama haya
yamezidi kushika kasi katika jamii yetu ambapo watu wamezidi
kujichukulia sheria mikononi Kwa kuwaadhibu watu na matokeo yake
kuwajeruhi watu kupita kiasi.
MCHEPUKO SIO DILI BAKI NJIA KUU,WAKE ZA WATU WAZIDI KULETA MATATIZO
Reviewed by peacethepresident
on
August 18, 2014
Rating: 5
No comments