Picha: Davido arudiana na 'Kim K wa Afrika', ashare picha zao na ujumbe mtamu
Mwanamitindo wa Ghana anaetajwa kuwa Kim Kardashian wa
Afrika kutokana kutokana na mambo yake, Nish Kards aliyekuwa mpenzi wa
zamani wa Davido, ameongea kupitia picha alizopost Instagram kuwa yeye
na Davido ni wapenzi tena.
Mrembo huyo ambaye alikuwa na muda mrefu hajapost picha inayohusu uhusiano huo, ameshare picha inayomuonesha Davido akimbusu, na nyingine wakiwa wameshikana mikono wakitembea na kuandika kuwa yeye ndiye dawa yake inayomtuliza maumivu.
Ujumbe mwingine unamtaja Davido kama ‘Master Key yake’.
“He like a Drug he relieves my pain.” Ameandika Nish.
Mrembo huyo ambaye alikuwa na muda mrefu hajapost picha inayohusu uhusiano huo, ameshare picha inayomuonesha Davido akimbusu, na nyingine wakiwa wameshikana mikono wakitembea na kuandika kuwa yeye ndiye dawa yake inayomtuliza maumivu.
Ujumbe mwingine unamtaja Davido kama ‘Master Key yake’.
“He like a Drug he relieves my pain.” Ameandika Nish.
No comments