ads

Breaking News

Mchongo mpya alioupata Diamond Platnumz,huu unahusu application ya simu.

Diamond PlatinumzIngawa hajaweka wazi namna dili hii itakavyokuwa lakini kupitia ukurasa wake wa Instagram,Diamond Platnumz amepost picha ambayo imebeba maandishi yasemayo ‘Ningependa kukutaarifu shabiki wangu pendwa kuwa kijana wako sasa ni balozi wa application mpya iitwayo Mziiki’.


Hii ni application ambayo itatumiwa na watu wenye simu za androad kusikiliza muziki huu ndiyo muonekano wake utakapokuwa ume instal kwenye simu yako.
mond3
Maandishi ya Diamond pamoja na alichokipost ni hiki.
mond
mond 2
Tags :

No comments