ads

Breaking News

Tetesi za uhusiano kati ya Rihanna na Benzema zazidi kukua, waonekana tena pamoja

moja
Mambo yanazidi kupamba moto kati ya Rihanna na mchezaji wa soka wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema.
Wawili hao wameonekana wakila bata pamoja kwenye klabu ya Hollywood usiku wa Jumatatu.
mbili
Kwa mujibu wa TMZ wawili hao walionekana wakitoka kwenye kiota cha Henry’s na ingawa kila mmoja alitoka kivyake, ilikuwa wazi kuwa walikuwa pamoja.
tatu
Hiyo sio mara ya kwanza wawili hao kukutana katika maeneo ya starehe.
nne

No comments