ads

Breaking News

Karrueche Tran asema alienda kwenye tuzo za BET na walinzi akihofia kufanyiwa fujo na Chris Brown

karrueche-
Akifanyiwa mahojiano na Madame Noire, Karrueche amekiri kuwa alilazimika kuongozana na walinzi (bodyguards) kwenye tuzo hizo ili Breezy asipate nafasi ya kumsogelea tena.

“This weekend I did have security just because as you know things got a little crazy a few weeks ago…” alisema Karrueche.
Chris Brown ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo.
Wiki chaache zilizopita Breezy alimfanyia fujo Karrueche katika jaribio la kutaka kurudiana naye.

No comments