ads

Breaking News

Justin Bieber In Car Crash After Paparazzi Chase

Justin Bieber amepata ajali ya gari akiwa katika gari lake la Cadillac Escalade wakati akiwakimbia mapaparazzi, Beverly Hills.
Justin BieberKwa mujibu wa TMZ, Bieber alikuwa amekaa kwenye seat ya abiria ambapo gari lingine aina ya BMW liligonga mlango wa upande huo.
Kwa bahati nzuri, hakuna aliyeumia katika ajali hiyo na Justin alihamia kwenye gari nyingine na kuendelea na safari.
Justin Bi

No comments