ads

Breaking News

Picha: Amber Rose apose utupu kwenye jarida la GQ (18+)

Aliyekuwa mke wa rapper Wiz Khalifa, Amba Rose ame-pose utupu kwenye jarida la nchini Uingereza, GQ. Hii si mara ya kwanza kwa Amber kupiga picha za namna hiyo toka alipoachana na Wiz.(Ingia hapa)
Amber 18
Kwa mujibu wa Hollywoodlife , inasemekana kuwa hii ni njia moja wapo ya kupromote kitabu chake cha “How To Be A Bad Bitch,”
Katika mahojiano yake na jarida hilo la Uingereza, Amber pia ameelezea sababu za kumshambulia rapper Tyga ambaye ni ex wa rafiki yake Blac Chyna, kwa madai kuwa alimtumia ujumbe mfupi Blac Chyna wa kutaka warudiane huku akiwa na Kylie Jenner.
“I really went in on Tyga. He’d been texting Blac Chyna,Tyga was telling Blac Chyna, ‘I really want my family back’ — but he was out with a 17-year-old.” Alisema Amber.

No comments