Blue Mountain Music ina-face Lawsuit kutokana na 'no woman no cry' hit by Bob Marley
Cayman
Music ni kampuni ambayo ilikua inamiliki nyimbo za Bob Marley na kuuza umiliki huo kwa kampuni ya
Blue Mountain Music mwaka 1992, lakini kuna baadhi ya nyimbo hazikua included
kama wimbo wa ‘’ No Woman No Cry’’. Sasa basi baada ya kuona kampuni hiyo
ya Blue
Mountain Music inapiga mtonyo mwingi basi jamaa wameanza kudai fidia kwa
nyimbo ambazo hazikua included wakati wa mauzo, ishu ilifika mpaka mahakamani
lakini jamaa wamefeli kurejeshewa
hatimiliki ya nyimbo hizo.
No comments