ads

Breaking News

Sporah ashambuliwa baada ya kupost video akimwagiwa ndoo ya maji ya barafu kuunga mkono ‘Ice bucket Challenge’

Spo2
Mtangazaji wa kipindi cha ‘The Sporah Show’ kinachoruka kupitia Clouds Tv, Sporah Njau ameshambuliwa na mashabiki baada ya kupost video ya inayomuonesha akimwagiwa ndoo ya maji ya barafu, kama ishara ya kushiriki kampeni ya ‘Ice bucket Challenge’ inayofanywa Marekani kuhamasisha kuchangia utafiti juu ya ugonjwa wa Amyotrophic lateral sclerosis (ALS).

No comments