
Taarifa zilizonifikia muda huu ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo Fleva Side
Boyamefariki dunia.
Kwa mujibu wa mdogo wake Ally Khamis, anasema Kaka yao
marehemu Said Salum Hemedy amefia Lindi kwenye hospitali ya Nyangao,
Alikuwa akisumbuliwa na TB Ya mifupa.
Hii ndio video yake Hujafa hujaumbika,alifanya na Besti Naso.
No comments