Gari
aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta
jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana
na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya
18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar.
PICHA ZA AJALI ILIYOTOKEA LEO..TUNAOMABA RADHI PICHA ZINATISHA SANA
Reviewed by peacethepresident
on
June 22, 2014
Rating: 5
No comments