sarafu ya Shilingi Mia Tano ambayo Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuitoa hivi karibuni. Noti ya Mia Tano maarufu kama 'Jelo' itaendelea kutumika, ila itaondolewa taratibu katika mzunguko,na hii ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa BoTBw Emmanuel Boaz,
UMESHAIONA SARAFU YA SHILINGI MIA TANO YA TANZANIA?KAMA BADO HII HAPA KUANZA KUTUMIKA KARIBUNI
Reviewed by peacethepresident
on
July 07, 2014
Rating: 5
No comments