Mtangazaji wa
michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid
Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota
wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota
wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa
HIVI NDIVYO LUIS FIGO ALIVYO POKELEWA NA MAULID KITENGE MTANGAZAJI WA EFM RADIO
Reviewed by peacethepresident
on
August 22, 2014
Rating: 5
No comments