Kupitia
You heard ya August 04,Weusi wamesemekana kucopy wimbo na kuurudia
kuanzia namna wanavyorap mpaka beat iliyotumika kwenye wimbo huo,Joh
Makini kaongea na kapatikana pia producer wa wimbo huo NahReel nae
kazungumza.
Umeipata hii ya Weusi kusemekana wamecopy wimbo?
Reviewed by peacethepresident
on
August 04, 2014
Rating: 5
No comments