Baada ya Kuachana na Mumewe Dida Aonyesha Jeuri Nyingine ya Pesa
Baada ya Dida Mtangazaji wa Times fm
Kuachana na Mumewe Edzen siku si nyingi zilizopita amejitokeza na
kuonyesha Jeuri Nyingine ya Pesa na kudhihirisha yeye ndio Boss Lady wa
Ukweli Bongo ,
Didas Kuacha mali zingine alizowahi kuonyesha na watu
kubaki midomo wazi Amenunua Magari Mawili kwa Mpigo Ambapo Moja ni
Toyota Noah Kwa Ajili ya Biashara yake na Jingine ni Toyota Brevis New
Model..
Mbali hivo Dida anamiliki Nyumba Mbili na magari mengine Manne
No comments