Suge Knight hataki tena kusikia kuhusu ishu ya kupigwa risasi?
Askari wanaohusika na kesi ya Suge Knight kupigwa risasi August mwaka huu wanasema wamemfahamu mtu aliyefanya kitendo hicho lakini hawana ushahidi wa kutosha ili kuweza kumkamata.
Mtandao wa TMZ wa Marekani umesema baada ya askari wa Los Angeles kuangalia kamera na kukusanya taarifa mbalimbali kutoka kwa mashahidi wamempata muhusika aliyempiga risasi Suge na wanaendelea kukusanya mashahidi ili kupata maelezo zaidi juu ya kesi hiyo.
Suge Knight alipigwa risasi mara sita kwenye klabu iitwayo West
Hollywood
1Oak kwenye party iliyoandaliwa na kufanyika kabla ya utoaji wa tuzo (VMAs) ambayo iliendeshwa na mwimbaji staa Chris Brown.
No comments